![]() |
| Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama katika mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya viongozi pamoja na watumishi wengine walioshiriki mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidss Gama akizungumza katika mkutano huo. |
![]() |
| Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo,Anthony Tesha akitoa taarifa juu ya kiwanja kilichotolewa kwa waweezaji na halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha saruji. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Halamshauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akitoa ufafanuz juu ya mgogoro wa kiwanja kinachomilikiwa naaliyekuwa mbunge wa jimbo la Vunjo ,Aloyce Kimaro. |
![]() |
| Baadhi ya Madiwani wa Halamshauri ya manispaa ya Moshi wakiongozwa na Naibu Meya ,Dkt Mbando,PeterKimaro pamoja na Raymond Mboya. |
![]() |
| Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia mkutano huo. Na Dixon Buagaga wa Globu ya Jamii Knada ya Kaskazini. |
















0 comments :
Post a Comment