![]() |
| Umati mkubwa wa wanachi katika kata ya Pasua wakilmsikiliza mfanyabiashara Juma Raibu (hayupo pichani wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua. |
![]() |
| Mfanyabiashara Juma Raibu akifutilia kwa makini wahutibiaji wa awali wakati wa mkutano wa hadhara ambao uliandaliwa kwa ajili ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya wananchama wa vyama vya upinzani waliojitokeza kurudisha fomu wakati wa mkutano huo. |





0 comments :
Post a Comment